2 Chronicles 5:1

1 aHivyo Sulemani alipomaliza kazi ya Hekalu la Bwana, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani, fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la Mungu.

Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

(1 Wafalme 8:1-9)

Copyright information for SwhKC